Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitoa hotuba mbele ya Wafanyakazi (hawapo pichani) katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Wafanyakazi (hawapo pichani) baada ya kuwasili mkoani Njombe katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, akizungumza mbele ya Wafanyakazi (hawapo pichani) katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka akitoa salamu za mkoa katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mhe. Rosemary Senyamule, akitoa hotuba kwa Wafanyakazi wa Mkoa huo, waliohudhuria katika Maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma Mei 1, 2025.
Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, Daniel Ndiyo (katikati), akiwa pamoja na watumishi wa Mamlaka, Makao Makuu, Dodoma wakiwa ofisini kabla ya kuelekea uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) iliyofanyika Mei 1,2026 ambapo mwaka huu 2026 kitaifa imeadhimishwa Mkoa wa Njombe.
Watumishi wa Mamlaka wakisalimia jukwaa kuu kwa Mgeni Rasmi wakati wakiingia katika uwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Mei 1, 2026.
Watumishi wa Mamlaka wakisalimia jukwaa kuu kwa Mgeni Rasmi wakati wakiingia katika uwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Mei 1, 2026.
Watumishi wa Mamlaka wakisalimia jukwaa kuu kwa Mgeni Rasmi wakati wakiingia katika uwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Mei 1, 2026.
Watumishi wa Mamlaka wakisalimia jukwaa kuu kwa Mgeni Rasmi wakati wakiingia katika uwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Mei 1, 2026.