Mshiriki akiuliza swali kulingana na mada mbalimbali zilizotolewa na Wataalamu kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika Mafunzo ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Tarime, Juni 12, 2026.
Washiriki wakifuatilia mada mbalimbali zilizotolewa na Wakufunzi Kutoka Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kwenye Mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi Tarime, Juni 12, 2026.
Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Mohamed Mdemu, Kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali akiwasilisha mada katika Mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi Tarime, Juni 12, 2026.
Meneja wa Maabara ya Sayansi Jinai Kemia, Joyce Njisya, akiwasilisha mada ya Usimamizi na Upokeaji wa Sampuli za Sayansi Jinai Kemia katika Mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi Tarime, Juni 12, 2026.
Meneja wa Maabara ya Sayansi Jinai Bailojia na Vinasaba, Dkt. Fidelis Bugoye, akiwasilisha mada kuhusu Matumizi ya Vinasaba vya Binadamu Katika uchunguzi wa Sayansi Jinai katika Mafunzo kwa kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi Tarime, Juni 12, 2026.
Meneja wa Maabara ya Sayansi Jinai Toksikolojia, Dkt. Kagera Ngw’eshemi, akiwasilisha mada kuhusu uchunguzi wa sumu kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi Tarime, Juni 12, 2026.
Meneja wa Maabara ya Sayansi Jinai Bailojia na Vinasaba, Dkt. Fidelis Bugoye, akiwasilisha mada kuhusu Matumizi ya Vinasaba vya Binadamu Katika uchunguzi wa Sayansi Jinai katika Mafunzo kwa kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi Tarime, Juni 12, 2026.
Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SSP) Petro Maskamo, akimkaribisha Mgeni Rasmi ( Hayupo Pichani) kufungua Mafunzo kwa askari wa Jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji ya namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Mkoa wa Kipolisi wa Tarime, Juni 12, 2026.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, (SACP) Mark Njera, akifungua mafunzo kwa jeshi la Polisi ngazi ya Upelelezi, Ofisi ya Waendesha Mashtaka, TAKUKURU na Uhamiaji, namna bora ya utunzaji na uchukuaji wa Sampuli za Sayansi jinai yaliyofanyika Juni 12, 2026, Tarime, Mara.
Baaadhi ya Wadau wa Kemikali, wakifuatilia mada katika mafunzo ya Usimamizi na Matumizi Salama ya Kemikali kwa wadau wa Kemikali yaliyofanyika wilayani Nzega Mkoa wa Tabora, Juni 11, 2026