Wanawake wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Makao Makuu na Kanda ya Kati - Dodoma, wakiwa tayari kuelekea katika Viwanja vya Mbande vilivyopo Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma yalipofanyika Maadhimisho ya kilele cha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026, ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule.
Wanawake wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Makao Makuu na Kanda ya Kati - Dodoma, wakielekea katika Viwanja vya Mbande vilivyopo Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026.
Wanawake wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Makao Makuu na Kanda ya Kati -Dodoma, wakiwa katika Viwanja vya Mbande vilivyopo Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma yalipofanyika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Machi 8, 2026, kwenye viwanja vya Barafu, Mburahati jijini Dar es Salaam.
Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakipita mbele ya mgeni rasmi wakati wa maandamano ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Machi 8, 2026, kwenye viwanja vya Barafu, Mburahati jijini Dar es Salaam
Watumishi wa Mamlaka kutoka Ofisi ndogo Dar es Salaam na Kanda ya Mashariki wakiwa pamoja kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakiwa kwenye sherehe za Siku ya Wanawake Duniani wakifuatilia hotuba mbalimbali.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika katika makazi ya watumishi katika mpaka wa Holili uliopo Wilaya ya Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro wakati wa ziara yake ya kikazi katika Kanda ya Kaskazini, Machi 3, 2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia) akisalimiana na Mkaguzi wa Kemikali wa Mamlaka katika Mpaka wa Holili, Jackson Chaula (kushoto) mara baada ya kufika katika makazi ya watumishi katika mpaka huo wakati wa ziara yake ya kikazi katika Kanda ya Kaskazini, Machi 3, 2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (aliyevaa kofia) akiwa pamoja na Kaimu Meneja wa Ofisi ya Kanda ya Kaskazini, Joshua Mustafa, wakati akikagua nyumba ya watumishi katika Mpaka wa Holili wakati wa ziara yake ya kikazi katika Kanda ya Kaskazini, Machi 3, 2026.