Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko (katikati), akimpokea Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Mhe. Dkt. Zeyana Abdallah Hamid (wa pili kushoto), wakati wajumbe wa Kamati hiyo walipotembelea Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Makao Makuu, Dodoma, Septemba 4, 2026.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Dkt. Zeyana Abdallah Hamid (aliyevaa hijab) wakimsikiliza Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), baada ya kuwapokea walipowasili Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Dodoma kwa ziara ya kikazi iliyofanyika Septemba 4, 2026.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Dkt. Zeyana Abdallah Hamid (kulia) wakimsikiliza Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), mara baada ya kutembelea ofisi ya mapokezi ya Sampuli wakati ws ziara yao katika Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Dodoma, Septemba 4, 2026.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Dkt. Zeyana Abdallah Hamid (kulia) wakimsikiliza Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), mara baada ya kutembelea ofisi ya mapokezi ya Sampuli wakati ws ziara yao katika Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Dodoma, Septemba 4, 2026.
Mtumishi wa Mamlaka ambaye ni msimamizi wa ofisi za mapokezi ya sampuli, Muhsin Kilonzo (kulia), akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI namna wanavyopokea sampuli na kuzifanyia kazi wakati wajumbe hao walipotembelea Mamlaka, Makao Makuu, Dodoma, Septemba 4, 2026.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Dkt. Zeyana Abdallah Hamid (katikati), Mwakilishi wa Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. Alex Magesa (wa nne kushoto) wakiwa pamoja na Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (wa tatu kushoto) na viongozi wa Mamlaka mara baada ya kukamilika kwa ziara ya Kamati hiyo ya Bunge kutembelea Mamlaka, Makao Makuu, Dododma, Septemba 4, 2026.
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakiongozwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (katikati) wakiwa pamoja mara baada ya kuwaaga Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI walipotembelea Ofisi za Makao Makuu, Dodoma Septemba 4, 2026.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jafari Haniu, akizungumza wakati akifunga maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jafari Haniu (wa pili kushoto), akipata maelezo kuhusu majukumu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutoka kwa Kaimu Meneja wa Maabara ya Chakula na Dawa, Everlight Matinga (Kulia), wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jafari Haniu (wa pili kushoto), akipata maelezo kuhusu majukumu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutoka kwa Kaimu Meneja wa Maabara ya Chakula na Dawa, Everlight Matinga (Kulia), wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.