Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jafari Haniu, akizungumza wakati akifunga maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jafari Haniu (wa pili kushoto), akipata maelezo kuhusu majukumu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutoka kwa Kaimu Meneja wa Maabara ya Chakula na Dawa, Everlight Matinga (Kulia), wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jafari Haniu (wa pili kushoto), akipata maelezo kuhusu majukumu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutoka kwa Kaimu Meneja wa Maabara ya Chakula na Dawa, Everlight Matinga (Kulia), wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Elias Mulima (katikati), akifuatilia hotuba ya mgeni rasmi katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika Viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Baadhi ya Wadau wa Tiba Asili na wananchi wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi katika maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika yaliyofanyika katika Viwanja vya Uhindini jijini Mbeya Agosti 31,2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (aliyesimama), akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki wakati wa kikao kazi cha kuwapongeza kwa kufikia malengo ya makusanyo ya mwaka 2025/2026 kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki, jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2026. Kulia ni Meneja Ofisi ya Kanda ya Mashariki, Danstan Mkapa.
Meneja Ofisi ya Kanda ya Mashariki, Danstan Mkapa (aliyesimama), akizungumza kabla ya kumkaribisha Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kushoto), kwenye kikao kazi cha watumishi wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki kilichofanyika katika jengo la ushirika, jijini Dar es Salaam, Agosti 15,2026.
Watumishi wa Mamlaka, wakipokea maelekezo kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (hayupo pichani), katika kakao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki, jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2026.
Msimamizi wa Dawati la Uhasibu na Utawala wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki, Sophia Nuru, akipokea pongezi kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (hayupo pichani), kwa usimamizi mzuri wa mapato katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki, jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2026.
Msimamizi wa Dawati la Usajli na Vibali, Leocardia Magere , akipokea pongezi kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (hayupo pichani), kwa kazi kubwa na nzuri anayoisimamia katika dawati hilo wakati wa kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Kanda ya Mashariki, jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2026.