Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe akitoa maelekezo kwa Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo, akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo (aliyevaa suti), akiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (wa nne kushoto) pamoja na Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo (kushoto), akikabidhiwa Zawadi na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (kulia) wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maonesho ya “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (kulia), akieleza kuhusu majukumu mbalimbali ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Michael Benarnard (kulia), akijibu swali aliloulizwa na mwananchi kuhusiana na masuala ya usimamizi wa kemikali wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Riphat Lusingo (kushoto), akifafanua jambo kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakisoma jarida la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Omary Edward (wa pili kushoto), akizungumza na mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka kuhusu majukumu mbalimbali ya Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.