Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitoa hotuba mbele ya Wafanyakazi (hawapo pichani) katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Wafanyakazi (hawapo pichani) baada ya kuwasili mkoani Njombe katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, akizungumza mbele ya Wafanyakazi (hawapo pichani) katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka akitoa salamu za mkoa katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Njombe Mei 1, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mhe. Rosemary Senyamule, akitoa hotuba kwa Wafanyakazi wa Mkoa huo, waliohudhuria katika Maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma Mei 1, 2025.
Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, Daniel Ndiyo (katikati), akiwa pamoja na watumishi wa Mamlaka, Makao Makuu, Dodoma wakiwa ofisini kabla ya kuelekea uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) iliyofanyika Mei 1,2026 ambapo mwaka huu 2026 kitaifa imeadhimishwa Mkoa wa Njombe.
Watumishi wa Mamlaka wakiiinga katika uwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei 1, 2026.
Watumishi wa Mamlaka wakiwa kwenye maandamano kuelea uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, ambapo maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani 2026 kwa Mkoa wa Dodoma yalifanyika.
Watumishi wa Mamlaka wakiwa kwenye maandamano kuelea uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, ambapo maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani 2026 kwa Mkoa wa Dodoma yalifanyika.
Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (mstari wa mbele katikati) akiwaongoza Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani ambayo kitaifa ilifanyika mkoani Njombe Mei 1, 2026.