Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (kulia), akieleza kuhusu majukumu mbalimbali ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Michael Benarnard (kulia), akijibu swali aliloulizwa na mwananchi kuhusiana na masuala ya usimamizi wa kemikali wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Riphat Lusingo (kushoto), akifafanua jambo kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakisoma jarida la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Omary Edward (wa pili kushoto), akizungumza na mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka kuhusu majukumu mbalimbali ya Mamlaka katika kilele cha maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 7,2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akisaini kitabu cha wageni alipowasili kwemye viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa Dar es Salaam Julai 6, 2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), akisalimiana na Dkt. Garvin Kweka (kushoto), wakati alipotembelea banda la Hospitali ya Taifa Muhimbili kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 6,2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (katikati), akizungumza na mtumishi kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya (DCEA) (kushoto), wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 6,2026. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Bidhaa na Mazingira, Dkt. Shimo Peter.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (katikati), akipata maelezo kuhusiana na Teknolojia za ujenzi ambazo ni salama kimazingira kutoka kwa mtumishi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jason Moses (kulia), katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 6,2026.
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kushoto), akipata maelezo kuhusiana na Teknolojia mpya kwa ajili ya upimaji wa Ardhi kutoka kwa mtumishi wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi (kulia), katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 6,2026.