Mtumishi wa Mamlaka, Costantino Tenga (kulia), akieleza majukumu mbalimbali ya Mamlaka ya Maabaara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026
Mtumishi wa Mamlaka, Riphat Lusingo (kulia), akieleza kuhusu taratibu za uchunguzi wa Bidhaa kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026
Mtumishi wa Mamlaka, Michael Benarnard (kulia), akijibu swali lililoulizwa na mwananchi kuhusiana na taratibu za kiuchunguzi wa sampuli mbalimbali wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Ernest Lasti (kulia), akifafanua jambo kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa wananchi waliotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Victoria Kyara (kushoto), akielezea kuhusu majukumu mbalimbali ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mtumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe akitoa maelekezo kwa Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo, akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo (aliyevaa suti), akiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (wa nne kushoto) pamoja na Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo (kushoto), akikabidhiwa Zawadi na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga (kulia) wakati alipotembelea Banda la Mamlaka katika maonesho ya “Sabasaba” yanayoendelea katika Viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere mkoani Dar es Saalam Julai 8,2026.