Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, Daniel Ndiyo, akizungumza wakati akiwakaribisha wadau wa kemikali aina ya Sulphur katika kikao cha wadau hao kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Meneja wa Ukaguzi wa kemikali na Maabara za Kemia, Gerald Meliyo, akizungumza wakati akimkaribisha Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, kufungua kikao cha wadau wa kemikali aina ya Sulphur kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Mashariki, Danstan Mkapa, akiwasilisha mada kuhusu uhifadhi na usafirishaji wa kemikali aina ya Sulphur kwa wadau wa kemikali hiyo (hawapo pichani) katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Kati, Magdalena Mtenga, akieleza kuhusu mwenendo wa ajali za kemikali aina ya Sulphur katika eneo la Kanda ya Kati kwenye kikao cha wadau wa kemikali hiyo (hawapo pichani) kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Meneja wa Mamlaka, Ofisi ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Elias Mulima, akieleza kuhusu ajali za kemikali zilizotokea na namna ya kujikinga kwa wadau wa kemikali aina ya Sulphur (hawapo pichani) katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Wadau wa kemikali aina ya Sulphur wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Mdau wa kemikali aina ya Sulphur akichangia mada mbalimbali katika kikao cha wadau kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Dar es Salaam Julai 24, 2026.
Mtumishi wa Mamlaka, Costantino Tenga (kulia), akieleza majukumu mbalimbali ya Mamlaka ya Maabaara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026
Mtumishi wa Mamlaka, Riphat Lusingo (kulia), akieleza kuhusu taratibu za uchunguzi wa Bidhaa kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026
Mtumishi wa Mamlaka, Michael Benarnard (kulia), akijibu swali lililoulizwa na mwananchi kuhusiana na taratibu za kiuchunguzi wa sampuli mbalimbali wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 10,2026.