Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

Kitengo cha huduma za Ufundi

Kitengo hiki kinafanya kazi zifuatazo

  • Kufanya uchunguzi wa sampuli za sayansi jinai, vyakula, dawa, usalama mahala pa kazi, mazingira, dawa asili, viuatilifu, kemikali na mazao yake
  • Kufanya matengenezo na marekebisho ya mitambo na vifaa vya maabara
  • Kufanya utafiti kwenye masuala yanayohusiana na uchunguzi wa sampuli mbalimbali
  • Kuwezesha na kuratibu ugezi wa mitambo na vifaa vya maabara
  • Kuandaa mahitaji ya ununuzi wa vifaa vya maabara, kemikali na vitendanishi, vitabu na mahitaji mengine
  • Kutoa ushauri wa kisayansi kwenye masuala yanayohusiana na kazi za kitengo cha huduma za ufundi