Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

Mahitaji ya Kipimo cha Vinasaba Kabla ya kuchukuliwa kipimo cha vinasaba yakoje?

 

Mwombaji anapaswa apate barua ya maombi kutoka Mamlaka zinazotambulika kisheria ambazo ni:

  • Mahakama kwenye masuala ya jinai na kijamii
  • Mawakili waliosajiliwa na wanatambulika kisheria
  • Ustawi wa jamii
  • Polisi mwenye cheo cha kuanzia mkaguzi
  • Mkuu wa Wilaya kwenye majanga ya kitaifa.
  • Madaktari kwenye masuala ya matibabu
  • Taasisi au vituo vya utafiti vilivyosajiliwa