Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

Gharama ya uchunguzi vinasaba zikoje?

 

Ghrama za uchunguzi ni  shilingi 100,000/= kwa sampuli moja yaani mtu mmoja. Hivyo kwa wahusika watatu (yaani baba, mama ma mtoto) ni shilingi laki tatu 300,000/=